سورة الصافات

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Tafsiri ya Sura As-Saffat kwa السواحلية kutoka Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Verse 1

As-Saffat


Naapa kwa wanao jipanga kwa safu.

Basi hukumu ya Mola wetu Mlezi imekwisha tuthibitikia. Hakika bila ya shaka tutaonja tu adhabu.

Na wakisema: Hivyo sisi tuiache miungu yetu kwa ajili ya huyu mtunga mashairi mwendawazimu?

Na lau kuwa si neema ya Mola wangu Mlezi bila ya shaka ningeli kuwa miongoni mwa walio hudhurishwa.
Verse 63

Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu.
Verse 65

Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani.
Verse 96

Na hali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni nyinyi na hivyo mnavyo vifanya!

Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.
Verse 103

Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.
Verse 112

Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu wema.
Verse 117

Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.
Verse 119

Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.
Verse 123

Na hakika Ilyas bila ya shaka alikuwa miongoni mwa Mitume.
Verse 126

Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu na Mola Mlezi wa baba zenu wa zamani?
Verse 127

Wakamkadhibisha. Basi kwa hakika watahudhurishwa;
Verse 135

Isipo kuwa mwanamke mkongwe katika wale walio bakia nyuma.
Verse 141

Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.
Verse 149

Basi waulize: Ati Mola wako Mlezi ndiye mwenye watoto wa kike, na wao wanao watoto wa kiume?
Verse 152

Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!
Verse 159

Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.
Verse 165

Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu.
Verse 169

Bila ya shaka tungeli kuwa ni waja wa Mwenyezi Mungu wenye ikhlasi.
Verse 171

Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.
Verse 172

Ya kuwa wao bila ya shaka ndio watakao nusuriwa.
Verse 182

Na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote.
تقدم القراءة