سورة البلد

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Tafsiri ya Sura Al-Balad kwa السواحلية kutoka Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Verse 10

Na tukambainishia zote njia mbili?
Verse 11

Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
Verse 20

Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.
تقدم القراءة