سورة نوح

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Tafsiri ya Sura Nouh kwa السواحلية kutoka Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Verse 14

Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?

Mola wangu Mlezi! Nighufirie mimi na wazazi wangu, na kila aliye ingia nyumbani mwangu kuwa ni mwenye kuamini, na Waumini wote wanaume, na Waumini wanawake. Na wala usiwazidishie walio dhulumu ila kupotea.
تقدم القراءة