سورة الشعراء

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Tafsiri ya Sura As-Shu'ara kwa السواحلية kutoka Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Verse 1

As-Shu'ara


T'aa Siin Miim. (T'. S. M.)

(Musa) akasema: Ndiye Mola wenu Mlezi, na Mola Mlezi wa baba zenu wa kwanza.
Verse 60

Basi wakawafuata lilipo chomoza jua.
Verse 98

Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Verse 108

Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
Verse 110

Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

Kwa hivyo tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye katika marikebu iliyo sheheni.
Verse 126

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
Verse 129

Na mnajenga majengo ya fakhari kama kwamba mtaishi milele!
Verse 150

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
Verse 175

Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
Verse 179

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
Verse 191

Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
Verse 192

Na bila ya shaka hii ni Uteremsho wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Verse 196

Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.
Verse 204

Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?
Verse 223

Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo.
Verse 224

Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
تقدم القراءة