Tafsiri ya Sura As-Shams kwa السواحلية kutoka Ali Muhsin Al - Swahili translation
Verse 1
ﭜﭝ
ﭞ
As-Shams
Naapa kwa jua na mwangaza wake!
Verse 2
ﭟﭠﭡ
ﭢ
Na kwa mwezi unapo lifuatia!
Verse 3
ﭣﭤﭥ
ﭦ
Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
Verse 4
ﭧﭨﭩ
ﭪ
Na kwa usiku unapo lifunika!
Verse 5
ﭫﭬﭭ
ﭮ
Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga!
Verse 6
ﭯﭰﭱ
ﭲ
Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!
Verse 7
ﭳﭴﭵ
ﭶ
Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
Verse 8
ﭷﭸﭹ
ﭺ
Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake,
Verse 9
ﭻﭼﭽﭾ
ﭿ
Hakika amefanikiwa aliye itakasa,
Verse 10
ﮀﮁﮂﮃ
ﮄ
Na hakika amekhasiri aliye iviza.
Verse 11
ﮅﮆﮇ
ﮈ
Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,
Verse 12
ﮉﮊﮋ
ﮌ
Alipo simama mwovu wao mkubwa,
Verse 13
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
Verse 14
Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.
Verse 15
ﮝﮞﮟ
ﮠ
Wala Yeye haogopi matokeo yake.
تقدم القراءة