سورة مريم

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Tafsiri ya Sura Marya kwa السواحلية kutoka Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Verse 1

Marya


Kaf Ha Ya A'yn S'ad

Basi naapa kwa Mola wako Mlezi! Kwa yakini tutawakusanya wao pamoja na mashet'ani; kisha tutawahudhurisha kuizunguka Jahannamu, nao wamepiga magoti!

Siku tutayo wakusanya wachamngu kuwapeleka kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa ni wageni wake.
Verse 88

Na wao ati husema kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana!
تقدم القراءة