سورة الواقعة

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Tafsiri ya Sura Al-Waki'ah kwa السواحلية kutoka Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Verse 15

Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyo tonewa.
Verse 37

Wanapendana na waume zao, hirimu moja.
Verse 55

Tena mtakunywa kama wanavyo kunywa ngamia wenye kiu.
Verse 66

Mkisema: Hakika sisi tumegharimika;
Verse 82

Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
Verse 87

Kwanini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
تقدم القراءة