سورة المدثر

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Tafsiri ya Sura Al-Muddasir kwa السواحلية kutoka Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Verse 7

Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!
Verse 17

Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.
Verse 26

Nitakuja mtia kwenye Moto wa Saqar.

Na hatukuwafanya walinzi wa Motoni ila ni Malaika, wala hatukuifanya idadi yao hiyo ila kuwatatanisha walio kufuru, wapate kuwa na yakini walio pewa Kitabu, na wazidi Imani wale walio amini, wala wasiwe na shaka walio pewa Kitabu na Waumini, na wapate kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: Mwenyezi Mungu amekusudia nini kwa mfano huu? Ndio kama hivyo Mwenyezi Mungu humwacha apotee amtakaye, na humwongoa amtakaye. Na hapana yeyote anaye jua majeshi ya Mola wako Mlezi ila Yeye tu. Na haya si chochote ila ni ukumbusho kwa binaadamu.
Verse 35

Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!
Verse 40

Hao watakuwa katika Mabustani, wawe wanaulizana
تقدم القراءة