أَيَحۡسَبُونَ أَنَّمَا نُمِدُّهُم بِهِۦ مِن مَّالٖ وَبَنِينَ
Je! Wanadhani ya kuwa kwa vile tunavyo wapa mali na watoto
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Kwani wanadhani hawa makafiri kwamba yale tunayowapa ya mali na watoto ulimwenguni ni mazuri waliyoharakishiwa na kwamba wao wanastahiki hayo?
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس