ترجمة معاني سورة عبس باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

Abasa


Alikunja kipaji na akageuka,
آية رقم 14

Zilizo inuliwa, zilizo takaswa.
آية رقم 15

Zimo mikononi mwa Malaika waandishi,
آية رقم 28

Na zabibu, na mimea ya majani,
آية رقم 30

Na bustani zenye miti iliyo songana baraabara,
آية رقم 31

Na matunda, na malisho ya wanyama;
تقدم القراءة