ترجمة معاني سورة النّاس باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation . ﰡ ﮀﮁﮂﮃ ﰀ An-NasSema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu, ﮅﮆ ﰁ Mfalme wa wanaadamu, ﮈﮉ ﰂ Mungu wa wanaadamu, ﮋﮌﮍﮎ ﰃ Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas, ﮐﮑﮒﮓﮔ ﰄ Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu, ﮖﮗﮘ ﰅ Kutokana na majini na wanaadamu.