ترجمة معاني سورة البلد باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation
ﰡ
آية رقم 1
ﭽﭾﭿﮀ
ﮁ
Al-Balad
Naapa kwa Mji huu!
آية رقم 2
ﮂﮃﮄﮅ
ﮆ
Nawe unaukaa Mji huu.
آية رقم 3
ﮇﮈﮉ
ﮊ
Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa.
آية رقم 4
ﮋﮌﮍﮎﮏ
ﮐ
Hakika tumemuumba mtu katika taabu.
آية رقم 5
ﮑﮒﮓﮔﮕﮖ
ﮗ
Ati anadhani hapana yeyote ataye muweza?
آية رقم 6
ﮘﮙﮚﮛ
ﮜ
Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.
آية رقم 7
ﮝﮞﮟﮠﮡ
ﮢ
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
آية رقم 8
ﮣﮤﮥﮦ
ﮧ
Kwani hatukumpa macho mawili?
آية رقم 9
ﮨﮩ
ﮪ
Na ulimi, na midomo miwili?
آية رقم 10
ﮫﮬ
ﮭ
Na tukambainishia zote njia mbili?
آية رقم 11
ﮮﮯﮰ
ﮱ
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
آية رقم 12
ﯓﯔﯕﯖ
ﯗ
Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
آية رقم 13
ﯘﯙ
ﯚ
Kumkomboa mtumwa;
آية رقم 14
ﯛﯜﯝﯞﯟﯠ
ﯡ
Au kumlisha siku ya njaa
آية رقم 15
ﯢﯣﯤ
ﯥ
Yatima aliye jamaa,
آية رقم 16
ﯦﯧﯨﯩ
ﯪ
Au masikini aliye vumbini.
آية رقم 17
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
آية رقم 18
ﯵﯶﯷ
ﯸ
Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.
آية رقم 19
ﭑﭒﭓﭔﭕﭖ
ﭗ
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.
آية رقم 20
ﭘﭙﭚ
ﭛ
Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.
تقدم القراءة