ترجمة معاني سورة البلد باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 9

Na ulimi, na midomo miwili?
آية رقم 10

Na tukambainishia zote njia mbili?
آية رقم 11

Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
آية رقم 12

Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
آية رقم 20

Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.
تقدم القراءة