ترجمة معاني سورة نوح باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 3

Ya kwamba mumuabudu Mwenyezi Mungu, na mumche Yeye, na mumt'ii.
آية رقم 10

Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe.
آية رقم 14

Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?

Mola wangu Mlezi! Nighufirie mimi na wazazi wangu, na kila aliye ingia nyumbani mwangu kuwa ni mwenye kuamini, na Waumini wote wanaume, na Waumini wanawake. Na wala usiwazidishie walio dhulumu ila kupotea.
تقدم القراءة