سَلَٰمٞ قَوۡلٗا مِّن رَّبّٖ رَّحِيمٖ
"Salama!" Hiyo ndiyo kauli itokayo kwa Mola Mlezi Mwenye kurehemu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Watakuwa na starehe nyingine kubwa kabisa nayo ni Atakaposema nao Mola wao, Mwenye kuwarehemu kwa kuwasalimia, na hapo watapata amani iliyotimia kwa kila namna.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس