إِلَّا رَحۡمَةٗ مِّنَّا وَمَتَٰعًا إِلَىٰ حِينٖ
Isipo kuwa kwa rehema zitokazo kwetu na starehe kwa muda.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Isipokuwa tuwahurumie, tuwaokoe na tuwastareheshe mpaka muda ukome, huenda wao wakarejea na wakayarakebisha yale waliyoyafanyia kasoro.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس