إِنَّ أَصۡحَٰبَ ٱلۡجَنَّةِ ٱلۡيَوۡمَ فِي شُغُلٖ فَٰكِهُونَ
Hakika watu wa Peponi leo wamo shughulini, wamefurahi.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Hakika watu wa Peponi Siku hiyo watakuwa wameshughulishwa kwa aina mbalimbali za neema za wao kustarehe nazo, hawawafikirii watu wengine.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس