ترجمة معاني سورة الطور باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

At-Tur


Naapa kwa mlima wa T'ur,
آية رقم 4

Na kwa Nyumba iliyo jengwa,
آية رقم 5

Na kwa dari iliyo nyanyuliwa,
آية رقم 7

Hakika adhabu ya Mola wako Mlezi hapana shaka itatokea.
آية رقم 10

Na milima iwe inakwenda kwa mwendo mkubwa.
آية رقم 11

Basi ole wao siku hiyo hao wanao kadhibisha,
آية رقم 27

Basi Mwenyezi Mungu akatufanyia hisani na akatulinda na adhabu ya upepo wa Moto.
آية رقم 39

Au Yeye Mwenyezi Mungu ana wasichana, na nyinyi ndio mna wavulana?
تقدم القراءة