عَمَّا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ
Kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
ambayo wao walikuwa wakiyatenda ya kuabudu mizimu, maasia na madhambi. Na katika haya pana kuwatisha na kuwaonya wao wasidumu nayo haya matendo mabaya.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس