قِيلَ ٱدۡخُلِ ٱلۡجَنَّةَۖ قَالَ يَٰلَيۡتَ قَوۡمِي يَعۡلَمُونَ
Akaambiwa: Ingia Peponi! Akasema: Laiti kuwa watu wangu wangeli jua
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Aliambiwa baada ya kufa kwake, «Ingia Peponi,» kwa njia ya kutukuzwa.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس