ترجمة معاني سورة القيامة باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 5

Lakini mtu anataka tu kuendelea na maasi kwa siku zilioko mbele yake.
آية رقم 21

Na mnaacha maisha ya Akhera.
آية رقم 24

Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.
آية رقم 26

La, hasha! (Roho) itakapo fikia kwenye mafupa ya koo,
آية رقم 28

Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
آية رقم 29

Na utapo ambatishwa muundi kwa muundi,
آية رقم 30

Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!
آية رقم 38

Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo.
تقدم القراءة