رُّبَمَا يَوَدُّ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ لَوۡ كَانُواْ مُسۡلِمِينَ
HUENDA ikawa walio kufuru wakatamani wange kuwa Waislamu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Makafiri watatamani, watakapowaona Waumini walioasi wakitoka Motoni, lau wao walikuwa ni wenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu wakawa ni wenye kutoka kama wao.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس