وَلَقَدۡ عَلِمۡنَا ٱلۡمُسۡتَقۡدِمِينَ مِنكُمۡ وَلَقَدۡ عَلِمۡنَا ٱلۡمُسۡتَـٔۡخِرِينَ
Na tunawajua walio tangulia katika nyinyi, na tunawajua walio taakhari.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Kwa hakika tunawajua walioangamia miongoni mwenu tangu Ādam, walio hai na watakaokuja mpaka Siku ya Kiyama.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس