فَمَآ أَغۡنَىٰ عَنۡهُم مَّا كَانُواْ يَكۡسِبُونَ
Hayakuwafaa waliyo kuwa wakiyachuma.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na hazikuwatetea wao mali zao wala zile ngome kwenye mlilima ya mawe wala zile nguvu na heshima walizopewa.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس