وَقُلۡ إِنِّيٓ أَنَا ٱلنَّذِيرُ ٱلۡمُبِينُ
Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na sema, «Mimi ndiye muonyaji mwenye kuyafunua wazi yale ambayo watu wanaongokea kwayo kwenye kumuamini Mwenyezi Mungu Mola wa walimwengu.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس