لَهَا سَبۡعَةُ أَبۡوَٰبٖ لِّكُلِّ بَابٖ مِّنۡهُمۡ جُزۡءٞ مَّقۡسُومٌ
Ina milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu walio tengewa.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Una milango saba , kila mlango uko chini ya mwengine. Kila mlango utakuwa na fungu na sehemu la wafuasi wa Iblisi kulingana na matendo yao.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس