إِلَّا ٱمۡرَأَتَهُۥ قَدَّرۡنَآ إِنَّهَا لَمِنَ ٱلۡغَٰبِرِينَ
Ila mkewe. Tunakadiria huyo atakuwa miongoni watao bakia nyuma.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Ama yule mke wake aliye kafiri, tumepitisha kwa amri ya Mwenyezi Mungu kumwangamiza pamoja na watakaosalia kwenye adhabu.»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس