ترجمة معاني سورة يس باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

Yasin


Ya-Sin (Y. S.).
آية رقم 2

Kwa Haki ya Qur'ani yenye hikima!
آية رقم 3

Hakika wewe ni miongoni mwa walio tumwa,
آية رقم 5

Uteremsho wa Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
آية رقم 25

Hakika mimi nimemuamini Mola wenu Mlezi, basi nisikilizeni!
آية رقم 58

"Salama!" Hiyo ndiyo kauli itokayo kwa Mola Mlezi Mwenye kurehemu.
آية رقم 72

Na Sisi tukawadhalilishia. Basi baadhi yao wako wanao wapanda, na baadhi yao wanawala.

Kwani mwanaadamu haoni ya kwamba Sisi tumemuumba yeye kutokana na tone la manii? Kisha sasa yeye ndio amekuwa ndiye mgomvi wa dhaahiri!
تقدم القراءة