وَإِنَّا لَنَحۡنُ نُحۡيِۦ وَنُمِيتُ وَنَحۡنُ ٱلۡوَٰرِثُونَ
Na Sisi ndio tunao huisha na tunao fisha. Na Sisi ndio Warithi.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Ndio sisi tunaompa uhai aliyekufa kwa kumpatisha kutoka kwenye hali ya kutokuwako, na tunamfisha aliyekuwa hai baada ya ajali yake kukoma. Na sisi ndio wenye kuirithi ardhi na walioko juu yake.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس