لَّوۡمَا تَأۡتِينَا بِٱلۡمَلَـٰٓئِكَةِ إِن كُنتَ مِنَ ٱلصَّـٰدِقِينَ
Mbona hutuletei Malaika ikiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Si utuletee Malaika iwapo wewe ni mkweli wapate kutoa ushahidi kwamba Mwenyezi Mungu Amekutumiliza.»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس