ترجمة معاني سورة المعارج باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

Al-Ma'arij


Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,
آية رقم 7

Na Sisi tunaiona iko karibu.
آية رقم 8

Siku ambayo mbingu zitakapo kuwa kama maadeni iliyo yayushwa.
آية رقم 16

Unao babua ngozi ya kichwa!
آية رقم 18

Na akakusanya mali, kisha akayahifadhi.
آية رقم 25

Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
تقدم القراءة