surah.translation .

Al-Ma'un


Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo?

Huyo ndiye anaye msukuma yatima,

Wala hahimizi kumlisha masikini.

Basi, ole wao wanao sali,

Ambao wanapuuza Sala zao;

Ambao wanajionyesha,

Nao huku wanazuia msaada.