surah.translation .

An-Nasr


Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,

Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,

Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.