ترجمة معاني سورة الدّخان باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

Ad-Dukhan


H'a Mim
آية رقم 2

Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha,
آية رقم 14

Na wao wakamgeuzia uso, na wakasema: Huyu amefunzwa, naye ni mwendawazimu.
آية رقم 16

Siku tutayo yashambulia mashambulio makubwa, bila ya shaka Sisi ni wenye kutesa.
آية رقم 20

Nami najikinga kwa Mola wangu Mlezi na ndiye Mola wenu Mlezi pia, ili msinipige mawe.
آية رقم 23

Mwenyezi Mungu akasema: Basi nenda na waja wangu usiku. Kwa yakini mtafuatwa.
آية رقم 44

Ni chakula cha mwenye dhambi.
آية رقم 46

Kama kutokota kwa maji ya moto.
آية رقم 54

Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
آية رقم 58

Basi tumeifanya nyepesi hii Qur'ani kwa ulimi wako, ili wapate kukumbuka.
تقدم القراءة