ترجمة معاني سورة الذاريات باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

Az-Zariyat


Naapa kwa pepo zinazo tawanya,
آية رقم 3

Na zinazo kwenda kwa wepesi.
آية رقم 4

Na zinazo gawanya kwa amri,
آية رقم 5

Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka ni kweli,
آية رقم 6

Na kwa hakika malipo bila ya shaka yatatokea.
آية رقم 8

Hakika nyinyi bila ya shaka mmo katika kauli inayo khitalifiana.
آية رقم 18

Na kabla ya alfajiri wakiomba maghfira.

Ndipo mkewe akawaelekea, na huku anasema na akijipiga usoni kwa mastaajabu, na kusema: Mimi ni kikongwe na tasa!
آية رقم 34

Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka.
آية رقم 39

Lakini alipuuza kwa sababu ya nguvu zake na akasema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu!
آية رقم 40

Basi tukamkamata yeye na majeshi yake na tukawatupa baharini, na yeye ndiye wa kulaumiwa.
آية رقم 47

Na mbingu tumezifanya kwa nguvu na uwezo na hakika Sisi bila ya shaka ndio twenye uwezo wa kuzitanua.
آية رقم 48

Na ardhi tumeitandaza; basi watandazaji wazuri namna gani Sisi!
تقدم القراءة