ترجمة معاني سورة الرحمن باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

Ar-Rahman


Arrah'man, Mwingi wa Rehema
آية رقم 6

Na mimea yenye kutambaa, na miti, inanyenyekea.
آية رقم 10

Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe.
آية رقم 13

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
آية رقم 16

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
آية رقم 17

Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi mbili.
آية رقم 18

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 21

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 22

Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
آية رقم 23

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 25

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 28

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 30

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 32

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 34

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 36

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 38

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 40

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 41

Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
آية رقم 42

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 44

Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.
آية رقم 45

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 46

Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.
آية رقم 47

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 48

Bustani zenye matawi yaliyo tanda.
آية رقم 49

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 50

Ndani yake zimo chemchem mbili zinazo pita.
آية رقم 51

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 53

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 55

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 57

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 58

Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.
آية رقم 59

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
آية رقم 61

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 62

Na zaidi ya hizo zipo Bustani nyengine mbili.
آية رقم 63

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 64

Za kijani kibivu.
آية رقم 65

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 67

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 68

Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.
آية رقم 69

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 71

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 73

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 75

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
آية رقم 77

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
تقدم القراءة