ترجمة معاني سورة الحاقة باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

Al-Hakkah


Tukio la haki.
آية رقم 4

Thamudi na A'di waliukadhibisha Msiba unao situsha.
آية رقم 9

Na Firauni na walio mtangulia, na miji iliyo pinduliwa chini juu, walileta khatia.
آية رقم 10

Wakamuasi Mtume wa Mola wao Mlezi, ndipo Yeye Mola akawakamata kwa mkamato ulio zidi nguvu.
آية رقم 12

Ili tuyafanye hayo kuwa ni waadhi kwenu na kila sikio linalo sikia liyahifadhi.
آية رقم 27

Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
آية رقم 30

(Pasemwe): Mshikeni! Mtieni pingu!
آية رقم 40

Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
آية رقم 43

Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
آية رقم 45

Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
آية رقم 46

Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
آية رقم 48

Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
آية رقم 49

Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
آية رقم 50

Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
آية رقم 51

Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
تقدم القراءة