إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Isipokuwa waja wa Mwenyezi Mungu Aliyowasafisha na Akawachagua kwa kuwapa rehema Yake kwa kule kumtakasa kwao Yeye.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس