فَلَمَّآ أَسۡلَمَا وَتَلَّهُۥ لِلۡجَبِينِ
Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Walipojisalimisha wao wawili kwa kuifuata amri ya Mwenyezi Mungu na kuiandama, na Ibrāhīm akambwaga Ismā'īl chini, kwa upande wa paji la uso, ili kumchinja.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس