إِلَّا عَجُوزٗا فِي ٱلۡغَٰبِرِينَ
Isipo kuwa mwanamke mkongwe katika wale walio bakia nyuma.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
isipokuwa mkongwe aliyezeeka, naye ni mke wake, ambaye aliangamia pamoja na wale walioangamia miongoni mwa watu wake kwa ukafiri wake.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس