ترجمة معاني سورة الشعراء باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

As-Shu'ara


T'aa Siin Miim. (T'. S. M.)
آية رقم 9

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
آية رقم 16

Basi mfikieni Firauni na mwambieni: Hakika sisi ni Mitume wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
آية رقم 20

(Musa) akasema: Nilitenda hayo hapo nilipo kuwa miongoni mwa wale walio potea.
آية رقم 26

(Musa) akasema: Ndiye Mola wenu Mlezi, na Mola Mlezi wa baba zenu wa kwanza.
آية رقم 29

(Firauni) akasema: Ukimfuata mungu mwengine asiye kuwa mimi, basi bila ya shaka nitakufunga gerezani.

Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa nguvu za Firauni hakika sisi hapana shaka ni wenye kushinda.
آية رقم 47

Wakasema: Tunamuamini Mola Mlezi wa walimwengu wote.
آية رقم 56

Na sisi ni wengi, wenye kuchukua hadhari.
آية رقم 60

Basi wakawafuata lilipo chomoza jua.
آية رقم 61

Na yalipo onana majeshi mawili haya, watu wa Musa wakasema: Hakika sisi bila ya shaka tumepatikana!
آية رقم 68

Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
آية رقم 78

Ambaye ndiye aliye niumba, na Yeye ndiye ananiongoa,
آية رقم 91

Na Jahannamu itadhihirishwa kwa wapotovu.
آية رقم 98

Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.
آية رقم 104

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
آية رقم 108

Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
آية رقم 110

Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
آية رقم 119

Kwa hivyo tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye katika marikebu iliyo sheheni.
آية رقم 122

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
آية رقم 126

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
آية رقم 128

Je! Mnajenga juu ya kila mnyanyuko kumbusho la kufanyia upuuzi?
آية رقم 129

Na mnajenga majengo ya fakhari kama kwamba mtaishi milele!
آية رقم 131

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.
آية رقم 134

Na mabustani na chemchem.
آية رقم 140

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
آية رقم 144

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.
آية رقم 150

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
آية رقم 155

Akasema: Huyu ngamia jike; awe na zamu yake ya kunywa, na nyinyi muwe na zamu yenu ya kunywa katika siku maalumu.
آية رقم 157

Lakini wakamuuwa, na wakawa wenye kujuta.
آية رقم 159

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
آية رقم 163

Basi mcheni Mwenyezi Mungu na nit'iini mimi.
آية رقم 168

Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.
آية رقم 169

Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.
آية رقم 170

Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,
آية رقم 175

Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
آية رقم 179

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
آية رقم 191

Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
آية رقم 192

Na bila ya shaka hii ni Uteremsho wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
آية رقم 196

Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.
آية رقم 198

Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,
آية رقم 204

Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?
آية رقم 209

Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.
آية رقم 214

Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
آية رقم 217

Na umtegemee Mtukufu Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
آية رقم 219

Na mageuko yako kati ya wanao sujudu.
آية رقم 223

Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo.
آية رقم 224

Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
تقدم القراءة