ترجمة معاني سورة المدّثر باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

Al-Muddasir


Ewe uliye jigubika!
آية رقم 3

Na Mola wako Mlezi mtukuze!
آية رقم 7

Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!
آية رقم 17

Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.
آية رقم 18

Kwani hakika yeye alifikiri na akapima.
آية رقم 23

Kisha akaipa kisogo haki, na akatakabari.
آية رقم 26

Nitakuja mtia kwenye Moto wa Saqar.
آية رقم 29

Unababua ngozi iwe nyeusi.

Na hatukuwafanya walinzi wa Motoni ila ni Malaika, wala hatukuifanya idadi yao hiyo ila kuwatatanisha walio kufuru, wapate kuwa na yakini walio pewa Kitabu, na wazidi Imani wale walio amini, wala wasiwe na shaka walio pewa Kitabu na Waumini, na wapate kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: Mwenyezi Mungu amekusudia nini kwa mfano huu? Ndio kama hivyo Mwenyezi Mungu humwacha apotee amtakaye, na humwongoa amtakaye. Na hapana yeyote anaye jua majeshi ya Mola wako Mlezi ila Yeye tu. Na haya si chochote ila ni ukumbusho kwa binaadamu.
آية رقم 35

Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!
آية رقم 40

Hao watakuwa katika Mabustani, wawe wanaulizana
آية رقم 45

Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
آية رقم 50

Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,
تقدم القراءة