وَأَنَّهُمۡ يَقُولُونَ مَا لَا يَفۡعَلُونَ
Na kwamba wao husema wasiyo yatenda?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
na kwamba wao wanayasema wasiyoyatenda, wanapita mipaka katika kuwasifu watu wa ubatilifu na wanawatia kasoro watu wa haki.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس