قَالَ أَوَلَوۡ جِئۡتُكَ بِشَيۡءٖ مُّبِينٖ
Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Mūsā akasema, «Je, utanifanya mimi ni miongoni mwa wafungwa jela, hata nikikuletea hoja ya kukata ambayo kwa hiyo utabainika ukweli wangu?»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس