قَالَ لَهُم مُّوسَىٰٓ أَلۡقُواْ مَآ أَنتُم مُّلۡقُونَ
Musa akwaambia: Tupeni mnavyo taka kutupa.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Mūsā akasema kuwaambia wachawi, akitaka kuutangua uchawi wao na kuonyesha kuwa kile alichokileta si uchawi, «Tupeni mtakavyovitupa vya uchawi.»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس