أَفَبِعَذَابِنَا يَسۡتَعۡجِلُونَ
Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Je, hawa wamedanganyika na kule kuwapa muhula kwangu ndipo wakawa wanataka kuteremka adhabu kwa haraka juu yao kutoka mbinguni?
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس