أَتُتۡرَكُونَ فِي مَا هَٰهُنَآ ءَامِنِينَ
Je! Mtaachwa salama usalimina katika haya yaliyopo hapa?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
«Je, Awaache Mola wenu katika starehe mlizonazo, hali ya kuwa mumetulia katika dunia hii mkiwa mumesalimika na adhabu na kuondoka na kufa?
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس