أَلَمۡ تَرَ أَنَّهُمۡ فِي كُلِّ وَادٖ يَهِيمُونَ
Je! Huwaoni kwamba wao wanatangatanga katika kila bonde?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Kwani huoni, ewe Nabii, kwamba wao wanaenda kama mtu aliyekosa mwelekeo, wanavama ndani ya kila aina ya fani za urongo, uzushi, uvunjaji heshima, kutukana nasaba na kuwataja vibaya wanawake waliojihifadhi,
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس