قَالَ نَعَمۡ وَإِنَّكُمۡ إِذٗا لَّمِنَ ٱلۡمُقَرَّبِينَ
Naam! Na hakika mtakuwa katika watu wa mbele.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Fir’awn akasema, «Ndio, nyinyi mtapata kwangu malipo mnayoyataka, na nyinyi hapo mtakuwa ni miongoni mwa wenye kusogezwa karibu na mimi.»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس