فَلَوۡ أَنَّ لَنَا كَرَّةٗ فَنَكُونَ مِنَ ٱلۡمُؤۡمِنِينَ
Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
«Tunatamani tupatiwe fursa ya kurudi ulimwenguni tupate kuwa miongoni mwa wenye kuamini na kuokolewa.»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس