فَقَرَأَهُۥ عَلَيۡهِم مَّا كَانُواْ بِهِۦ مُؤۡمِنِينَ
Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
wakawasomea makafiri wa Kikureshi kisomo cha Kiarabu kilicho sawa, wangaliikanusha pia na wangalizua sababu ya ukanushaji wao.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس